Psalms 80:3-4


3 aEe Mungu, uturejeshe,
utuangazie uso wako,
ili tuweze kuokolewa.

4 bEe Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote,
hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi
dhidi ya maombi ya watu wako?
Copyright information for SwhNEN